Nadia Mukami
Maombi
[Intro]
Nadia....
(Hoyah hoyah hoyah)
(Hoyah hoyah hoyah)

[Verse 1]
Nilichopata nikiomba walisema kitakwisha
Nikitoa shukrani hadharani wakasema najigamba
Hao binadamu walinipa wiki
Sasa imepita miaka bado wanasubiri

[Bridge]
Kazi ya Mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa

[Chorus]
Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi
Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi

Hoya hoya,hoyaaah
Hoya hoya,hoyaaah
Hoya hoya,hoyaaah

[Verse 2]
Kazi ya Mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa

[Chorus]
Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi
Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi

Hoya hoya,hoyaaah
Hoya hoya,hoyaaah
Hoya hoya,hoyaaah

[Verse 3]
Maneno ya wanadamu, yalinilenga kama mishaleee
Ila Mungu hawezi kubali uangukee
Alichoanzisha leo, lazima atakamilisha weeeh

[Bridge]
Kazi ya Mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa

[Chorus]
Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi
Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi

[Outro]
Si uchawii weeeh
Si uleviii eeeh
Si kwa nguvu zangu mieee
Si Ka Nadia katambeeeee