Ali Kiba
Jah Jah
[Intro:]
Oh Ooh
Oh Ooh
Oh Ooh
<< ?keys>>
Oh Ooh
Oooh woaah
Aaah...
Aahh...
Aaah...

[Verse 1:]
Oh Baba
Oh Baba
Naomba niongoze Eh Ee
Oh Jah Jah
Oh Jah Jah
Nitakufata nisipotee ay yeah yeah
Oh
Kwenye mabalaa umenipitisha aah
Kwenye shida na njaa umenilisha aah
Wakitaka niende chini wanipandisha
Mapenzi yako siwezi kufananisha
Bora nikushukuru uuuuh
Acha nikushukuru yeah uuuuh
Bora nikushukuru uuuuh
Hey!
Acha nikushukuru yeah aaaiiih
Baba, baba
[Instrumentals]

<>

[Verse 2:]
Oluwa o Jah Jah
Wanijua kiundani, ukinilinda maishani Yeah yeah
Sikulipi chochote yeah
Sifuati yako yote' ila bado hujaniacha uko na mimi
Kwenye mabalaa umenipitisha ah
Kwenye shida na njaa umenilisha ah
Walitaka niwe chini ukanipandisha ah
Mapenzi yako siwezi kufananisha
Bora nikushukuru uuuuh
Acha nikushukuru yeah uuuuh
Mi bora nikushukuru uuuuh
Oh acha nikushukuru yeah
Eh' ooh

[Outro:]
Jah Jah
Jah Jah
(Jah Jah)
Oh Jah
(Jah Jah)
Oh Jah Jah
Oh (Jah jah)
Acha nikushukuru
(Jah Jah)
Oh yes
(Jah Jah)
Acha nikushukuru yeah yeah yeah
Eh' Jah Jah
Acha nikushukuru
Acha nikushukuru yeah
(Jah Jah)
Acha nikushukuru (Oooh ooh wah)
Acha nikushukuru yeah
Acha nikushukuru
Acha nikushukuru yeah
Acha nikushukuru
Acha nikushukuru yeah