Rayvanny
Tamu
[Intro]
Tamu, Tamu (Eiyoo Trone)
Tamu, Tamu (Ayo Lizer)

[Verse 1 - Macvoice]
Sura tisi chocolate
Kidoti joketi katoto ni keki (ehh)
Nitamwaga bajeti, nikape tiketi
Kunipeti peti (ehh)

Eh ulivyojazia ukinisusia itanizidia, eeh
Nang’ang’ania sitokuachia unanipatia, eeh

[Pre-Chorus - Macvoice]
Sambusa kachori, napenda macho yako gololi
Shah Rukh Khan, Kajol... tucheze kuchikuchi kwenye mapori
Sambusa kachori, napenda macho yako gololi
Shah Rukh Khan, Kajol... tucheze kuchikuchi kwenye mapori

[Chorus - Macvoice]
Aramba (Tamu)
Ah aramba tena (Tamu)
Oh aramba (Tamu)
Ah aramba tena (Tamu)

Ah aramba (Tamu)
Ah aramba tena (Tamu)
Oh aramba (Tamu)
Ah aramba tena (Tamu)
[Intro - Rayvanny]
Chui!
Vanny Boy, no no no no no

[Verse 2 - Rayvanny]
Alamba ta-mu tamu napenda ukita-basamu
Unavyonipa kwa mashamu... mashamu
Hujaniita naka-mukamu

Nitachuchumia na kuning’inia
Nimekupa nia hiyoo
Nitakusugulia ka' steel wire
Na masufuria, yoh

Nikisimama we lala, tamu tamu
Nipe nguru sangara, tamu tamu
Ukikamata munara, tamu tamu
Nitulize papara, tamu tamu

[Pre-Chorus - Rayvanny]
Sambusa kachori, tafuna tango ghetto si za Mori
Shah Rukh Khan, Kajol... tucheze kuchikuchi kwenye mapori
Sambusa kachori, tafuna tango ghetto si za Mori
Shah Rukh Khan, Kajol... tucheze kuchikuchi kwenye mapori

[Chorus -Macvoice and Rayvanny]
Alamba (Tamu)
Ah alamba tеna (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Ah alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)

[ Verse 3 - Macvoice]
Nimеshakupa seat, ukae mwenyewe ujinafasi
Siwezi kukucheat, basi niamini ondoa wasi
Mi ni mfungwa kwenye jela yako, nifungwe milele, milele
Kweli pombe ya mapenzi yako, niacheni nilewe, nilewe

[Pre-Chorus - Macvoice]
Sambusa kachori, napenda macho yako gololi
Shah Rukh Khan, Kajol... tucheze kuchikuchi kwenye mapori
Sambusa kachori, napenda macho yako gololi
Shah Rukh Khan, Kajol... tucheze kuchikuchi kwenye mapori

[Chorus]
Alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)

Ah alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Oh alamba (Tamu)
Ah alamba tena (Tamu)
Ka mix Lizer!