Rayvanny
Paranawe
[VERSE 1: HARMONIZE]
Kwenye darkness we ni candle
Professional wa ku handle
The way you take me to the angle
Wewe ni human being ama angel?
If you want my heart oooh
I give you baby carry go
Kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido
(aah eeeeeh!)

[PRE Chorus]
My sheri koko, kwa baridi nipe joto (aah eeeeeh!)
Kisha tupate kimoko Babu bibi, kurwa doto (aah eeeeeh!)
My sheri koko Kwa baridi nipe joto (aah eeeeeh!)
Kisha tupate kimoko Babu,bibi, kurwa doto (aah eeeeeh!)

[Chorus]
(Paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(Paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(Paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(Paranawe paranawe)
[VERSE 2: RAYVANNY]
(Vanny Boy)
Hivi unasokota jicho lako Legelege lina dondoka (Nakuuulizaa...) Hivi una ka motor Panga boy Chenga jay jay Ooh kocha (wanimaliza...) Pretty gal, nasty
Nitasema sorry nikimbeza
Ata kama nyuma umepigwa pasi
Sura mbaya dawa yake makeup
Uweke wembe Nitakula kiporo
Nimeshapenda sijui kasoro
Jirembe uwe mwororo
Kama huna shepu vaa kigodoro
If you want my heart oh I give you baby carry go
Kidogo changu ndo chako
Ongeza njonjo madoido ooh
(aah eeeeeh!)

[PRE-Chorus]
My sheri koko Kwa baridi nipe joto
(aah eeeeeh!)
Ndo uitwange kokoto Pekupeku kama Mpoto

[Chorus]
(Paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(Paranawe paranawe)
I like the way you dancing
Paranawe (noga) paranawe (noga)
I like the way you dancing
Paranawe (noga) paranawe
[VERSE 3]
(Anaeka sweeti)
Katamu mi nakajuwa uwa
Na kanavyo jishaua uwa (Ulimi picky) Snap na vi maua ua
Midomo denda ngozi muruwa uwa
Awusha ashawa Pauka pakawa Inuka pagawa (eeeeee....)
Zinduka mandawa Pinduka kagawa Karuka mabawa

[Chorus]
I want to see you dancing
(Paranawe paranawe)
I want to see you dancing
(Paranawe paranawe)
I like the way you dancing
(Paranawe paranawe)
I like the way you dancing Paranawe(noga) paranawe(noga)
Outro:
Woiyooo Woiyoyo Woiyooo Woiyoyo
Shake what your mama gave you
Cheki wanaona wivu
Shake what your mama gave you
Cheki wanaona wivu
Shake what your mama gave you
Cheki wanaona wivu
Wasafi...